This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/25 at 15:42
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

New Habari (2006) Ltd

New Habari (2006) Ltd

New Habari (2006) Limited ni miongoni mwa vyombo vya habari nchini Tanzania. Inamiliki magazeti yakiwemo Mtanzania, The African, Bingwa, Dimba, na Rai. Magazeti hayo yanatumia zaidi lugha ya Kiswahili na Kiingereza kwa baadhi yao.

Kwa mujibu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) (2018) New Habari (2006) LTD inamilikiwa na wanahisa wawili ambao ni Hassan Haidari (hisa 750) na Gulam Abdulrasul (hisa 750), ambao pia ni Wakurugenzi. Kwa mujibu wa BRELA (2018), kampuni inatakiwa kuhuisha kumbukumbu zake kwa kutumia mfumo wa usajili kwa njia ya mtandao (ORS).

New Habari (2006) LTD inachapisha magazeti yaliyokuwa yanachapishwa na Habari Corporation Limited ambayo ilisimamisha shughuli zake kutokana na sababu zisizofahamika. Kwa mujibu wa BRELA (2018), Habari Corporation Limited iliandikishwa 1 Oktoba 1996 ni kikundi cha waandishi wa habari watano mashuhuri ambao ni Jenerali Ulimwengu, Salvatory Rweyemamu, Johnson Mbwambo, Gideon Shoo na Shaban Kanuwa, ambao pia walikuwa wanahisa. Mwanasiasa na mfanyabiashara Rostam Aziz alinunua hisa zao kwenye Habari Corporation Limited mwaka 2006. Hatimaye alibadilisha jina la kampuni kuwa New Habari Corporation (2006) Limited.

Ingawa hana hisa tena kwenye kampuni, anatajwa mara nyingi kuwa ndinye mmiliki.

Taarifa muhimu

Aina ya Biashara

Binafsi

Mfumo kisheria

Kampuni ya dhima yenye kikomo

Nyanja za Kibiashara

Chapisha

Umiliki

Gulam Abdulrasul Chakkar

hajioneshi. Kwa mujibu wa tetesi zilizotangazwa na tovuti ja Jamii Forum kuhusiana na Rostam. Pia anasemekana kuwa miongoni mwa mwanahisa kampuni yenye utata ya Tanzania International Container Terminal Services (TICTS).

50%
Vyombo vya habari
Other Media Outlets

Magazeti mengine

Mtanzania

Digitali nyingine

mtanzania.co.tz

Halisia

Biashara

hakuna

none

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

1st October, 1996

Mwanzilishi

Habari Corporation Ltd. Was aunched by the
Dimba-Mtanzania-Rai-consortium of which Jenerali Ulimwengu was chair. In that group also were amongst others i. Jenerali Ulimwengu ii. Salvatory Rweyemamu iii. Johnson Mbwambo iv. Gideon Shoo v. Shaban Kanuwa. Later re-registered as New Habari (2006).

Waajiriwa

Taarifa zisizopatikana

Mawasiliano

Plot No. 236, Bibi Titi Mohamed Street, Dares salaam

Namba ya kutambulika

BRELA incorporation n°: 30858

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Utawala

Bodi ya utendaji + Bodi Maslahi ya utendaji

Hussein Bashe

Managing position. Member of Parliament for CCM. Prior to that position, he has worked in several positions within the party, e.g. in the General Comitee and as Secretary for Economic and Finance. He has worked for Mwananchi Communication..

Watu muhimu wenye ushawishi + watu maslahi wengine muhimu

Rostam Aziz - Tanzania’s first billionaire and former MP of the governing party CCM, Rostam Aziz, is known as owner and investor.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ