Capital Radio
Capital FM ni miongoni mwa vituo vitatu vya redio za FM vinavyoendeshwa na kusimamiwa na Reginald Mengi and Family Trust (99%) na Regnald Abraham Mengi (1%). Kituo hiki kilianza kutangaza pamoja na Capital TV (Kituo cha TV) mwaka 2009.
Capital FM ni kituo cha redio cha saa 24 (free to air), pia ni kituo cha redio cha biashra chenye makao makuu yake Dar es salaam, Tanzania.Vipindi vyake vinahusu masuala mbalimbali, kuanzia habari, michezo, matukio (ya nchini na kimataifa), maisha ya watu, burudani na vinginevyo.
Kwa mujibu wa ripoti ya Tanzania Media Measurement ya GeoPoll, kwa takwimu za robo mwaka ya pili, 2018, Capital FM ni ya 8 kwa wasikilizaji, yenye XX.XXX% miongoni mwa vituo vya redio 20 nchini Tanzania.
Taarifa kutoka IPP Media Limited, Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), TCRA pamoja na vyanzo vingine kama ilivyooneshwa hapa chini kuwa Reginald Mengi and Family Trust na Reginald Abraham Mengi ni wamiliki wa Capital FM redio kwa hisa za 99% na 1% mtawalia. Zaidi ya hayo, kwa mujibu wa wasifu wa kampuni uliyoombwa kwa wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inaonesha kuwa Dkt. Reginald Mengi pia ni miongoni mwa wanahisa wa IPP Media Limited.
Mengi alizaliwa Tanzania mwaka 1944. Yeye ni mfadhili wa Kitanzania, mwanaviwanda, mmiliki wa vyombo vya habari na mwasisi Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Group. Mengi pia ni Makamu wa Rais wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu FORBES, amekuwa miongoni mwa matajiri wa Afrika mwenye zaidi ya $400 milioni kwa takwimu za mwaka 2015.
Isa za hadhira
Aina ya umiliki
binafsi
Maeneo yanayofikiwa
Mkoani
Aina ya maudhui
Maudhui huru
Kampuni ya vyombo vya Habari
IPP Media Limited
Muundo wa umiliki
Capital Radion inaendeshwa na IPP Media Group ambayo pia inamilikiwa na Dr. Mengi.
Haki ya kuchagua
Taarifa zisizopatikana
Kundi / Mmiliki Binafsi
Reginald Mengi & Family Trust
Mfuko wa dhamana ni aina maalumu ya chombo cha kisheria chenye mali kwa manufaa ya watu wengine, kikundi au shirika. Kuna aina nyingi ya Mifuko ya Dhamana, hakuna taarifa kuhusu nani ni mdamini, bodi ya wadhamini au mnufaika.
Mmiliki Binafsi
Maelezo yote
Mwaka wa kuanzishwa
2009
Mwanzilishi
Dr. Reginald Mengi - ni mwanaviwanda wa Tanzania, mmiliki wa vyombo vya habari na muasisi, pia ni Mwenyekiti mtendaji wa IPP Group. Pia ni Makamu wa Rais wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Tanzania. Katika taarifa za FORBES, Mengi ni miongoni mwa mt
Mtendaji Mkuu
Taarifa zisizopatikana
Mhariri Mkuu
Taarifa zisizopatikana
Mawasiliano
Capital Radio
P. O. Box 4374, DAR ES SALAAM
Tel: +255767777147
Fax: +255 22 2775915
E-Mail: itv@ipp.co.tz
Taarifa za kifedha
Taarifa ya Kifedha
Taarifa zisizopatikana
Faida za uendeshaji
Taarifa zisizopatikana
Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)
Taarifa zisizopatikana
Isa katika soko
Taarifa zisizopatikana
Maelezo ya ziada
Taarifa ya ziada
Kiwango cha hadhira kwa mujibu wa ripoti ya viwango vya GeoPoll ya Redio & TV (Aprili – Juni 2018).
Muhtasari wa vyombo vya habari
Reginald Abraham Mengi (2018), I Can, I must, I will. ISBN-10: 9781717871749.