This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/23 at 21:21
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

Radio One

Redio One ni miongoni mwa vituo vya redio vya FM vinavyofanyakazi chini ya IPP Media Limited. Redio One ilianza shughuli zake pamoja na ITV (kituo cha televisheni) mwaka 1994.

Radio One ni kituo cha redio cha saa 24 (free to air), pia ni kituo cha redio cha biashara chenye makao makuu yake Dar es salaam, Tanzania. Vipindi vya Redio One vinahusu masuala mbalimbali kuanzia habari, michezo, matukio (ya nchini na kimataifa), maisha ya watu, burudani na vinginevyo.

Kama ilivyoelezwa kwenye ripoti ya Tanzania Media Measurement ya GeoPoll, kwa takwimu za robo mwaka ya pili, 2018, Redio One ni ya tano kwa wasikilizaji yenye XX.XXX% miongoni mwa vituo vya redio 20 nchini Tanzania.

Wakati Redio One ilipoanza matangazo yake kwa majaribio tarehe 23 Februari 1994 na kuanza matangazo yake kwa ukamilifu tarehe 11 Julai, 1994, ilianza kujikusanyia umaarufu miongoni mwa vijana.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka IPP Media Limited, Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), TCRA na Vyanzo vingine kama ilivyooneshwa hapa chini kuwa Redio One inamilikiwa na Dkt Reginald Abraham Mengi na IPP Media Limited, inayoendesha vituo vya televisheni, kituo cha redio na magazeti.

Mengi alizaliwa Tanzania mwaka 1944. Yeye ni mfadhili wa Kitanzania, mwanaviwanda, mmiliki wa vyombo vya habari na mwasisi Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Group. Mengi pia ni Makamu wa Rais wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu FORBES, amekuwa miongoni mwa matajiri wa Afrika mwenye zaidi ya $400 milioni kwa takwimu za mwaka 2015.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

binafsi

Maeneo yanayofikiwa

Taifa

Aina ya maudhui

Maudhui huru

Taarifa zinazopatikana kiurahisi

Upatikanaji wa taarifa za umiliki kutoka kwa vyanzo vingine, kwa mfano vile vinavyotambulikana kisheria

2 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

IPP Media Limited

Umiliki

Muundo wa umiliki

IPP Media ni mali ya IPP Group, kampuni binafsi inayomilikiwa na kikundi cha kampuni zilizoanzishwa na Dr. Reginald Abraham Mengi miaka ya 1960. Mmiliki hisa hawakuoneshwa TCRA,

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Mmiliki Binafsi

Kundi / Mmiliki Binafsi

Agapitus Leons Nguma

alikuwa katibu wa kampuni na mwanahisa. Amefariki dunia 1 Mei 2018. Alikuwa pia Mkurugenzi wa the Guardian Ltd.na Bonite Bottlers Ltd. Kitaaluma ni Mwanasheria.

?
Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

Date of registration: February 3rd 1994 Start: January 23rd 1994 on a trial basis, inauguration on June 11th 1994

Mwanzilishi

Dr. Reginald Mengi - ni mwanaviwanda wa Tanzania, mmiliki wa vyombo vya habari na muasisi, pia ni Mwenyekiti mtendaji wa IPP Group. Pia ni Makamu wa Rais wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Tanzania. Katika taarifa za FORBES, Mengi ni miongoni mwa mt

Mtendaji Mkuu

Joyce Mhavile - aliwahi kufanyakazi ya utangazaji katika redio na TV, IPP (ITV na Radio One). Baadae alipandishwa cheo kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu.

Mhariri Mkuu

Taarifa zisizopatikana

Mawasiliano

Radio One

P. O. Box 4374, DAR ES SALAAM

info@itv.co.tz

Tel: +255767777147

Fax: +255 22 2775915

E-Mail: itv@ipp.co.tz

www.ippmedia.com

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ