This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/23 at 03:35
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

Star TV

Star TV ni kituo cha TV cha binafsi kilichopo Mwanza na kinamilikiwa na Sahara Media Group inayoendesha pia vituo viwili vya redio.

Star TV ilianzishwa mwaka 2000 na hivi sasa inawatazamaji wengi hasa katika kanda ya nyanda za juu kusini. Pia ina mtandao mkubwa wa soko na gari la OB linalowezesha kutangaza mubashara vipindi vya nje ya studio.

Ni kituo cha biashara cha Free to Air, kinachotangaza kwenye majengo yote yaliyosajiliwa na TCRA. Ni miongoni mwa vituo vinavyoongoza kitaifa vilivyosajiliwa kwa kuzingatia ufikaji, hadhira na mapato ya matangazo. Vipindi vyake husikika kanda yote ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini kupitia masafa ya DIT na DTH.

Star TV ni kituo cha Saba cha TV kinachoangaliwa sana chenye XX.XXX% ya hadhira kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa GeoPoll Media Measurement Service ya 2018. Kituo hiki chenye vipindi hasa vya habari na matukio, pia hutangaza burudani, maigizo, michezo na sitcoms.

Leseni ya Star TV imesajiliwa kwa Sahara Media Group Ltd (SMG) kwa 100% - kwa mujibu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). SMG, iliyokuwa ikiitwa Sahara Communication na Publishing Company Ltd, ilianzishwa mwaka 1992. SMG inaendesha vyombo vitatu vya habari vya Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM.

Data za umiliki wa SMG hazikuweza kupatikana katika Wakala ya Usajili wa Biashara na Utoaji wa Leseni (BRELA). Kwa mujibu wa wasifu uliyounganishwa kwenye mtandao, Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa SMG hadi sasa ni mwasisi wake Dkt. Anthony M. Diallo, alikuwa waziri katika nyadhifa mbalimbali. Kwa mujibu wa dodoso lililotayarishwa na R & D Manager wa SMG; hakuna utafiti uliyofanywa kutathmini mapato ya matangazo kwa kila kituo cha FTA. Serikali inaipa kampuni hiyo, habari na taarifa, hata hivyo haisaidii sana katika matangazo ya Taifa.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

Binafsi

Maeneo yanayofikiwa

Taifa (husikika ukanda wote wa mashariki, kati na kusini kupitia masafa ya FM na AM)

Aina ya maudhui

Free to Air

Taarifa zisizopatikana

Taarifa za wamiliki wa vyombo vya Habari ambazo hazikupatikana, kampuni zakataa kutoa maelezo au hazikujibu au hazina hifadhi ya kumbukumbu zake

1 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

Sahara Media Group Limited

Umiliki

Muundo wa umiliki

Star TV inamilikiwa na kuendeshwa na Sahara Media Group Limited, ambayo hatimaye ni mali ya muasisi wake Dr. Diallo. Hakuna data zilizopatikanaBRELA.

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

2000

Mwanzilishi

Dr. Anthony M. Diallo - ni mwanasiasa na mwenyekiti wa chama wa mkoa wa Mwanza wa chama tawala cha Chama cha Mapinduzi (CCM). Alikuwa mbunge (1995 - Okt 2010) na kupoteza ubunge kwa mgombea wa upinzani. Alikuwa na nyadhifa mbalimbali katika baraza la Mawa

Mtendaji Mkuu

Dr. Anthony Diallo - angalia hapo juu

Mhariri Mkuu

Victor Chacha - Meneja wa Kituor. Flora Rugashololola - Mhariri wa Habari.

Mawasiliano

Sahara Media Group Limted

P. O. Box 1732

MWANZA

info@saharamedia.co.tz

Tel: +255 282503262

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa ya ziada

Kiwango cha hadhira kwa mujibu wa ripoti ya viwango vya GeoPoll ya Redio & TV (Aprili – Juni 2018).

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ