This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/16 at 07:27
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

TBC FM

Chaneli hii ya redio imewalenga vijana. Kwa mujibu wa mahojiano na Director of Radio Services, TBC FM ni chaneli ya vijana, inayotangazwa na vijana na kwa ajili ya vijana. Watayarishaji ni vijana, maudhui yake yamekusudiwa kuhudumia maslahi ya vijana na walengwa wakuu ni hadhira ya vijana. Hata hivyo maadili ya utangazaji ni lazima yazingatiwe.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Tanzania Media Measurement ya GeoPoll, kwa takwimu za hadhira za robo mwaka ya pili ya 2018, TBC FM ina hadhira ya asilimia XX.XXX%. Kwa hiyo ni ya saba miongoni mwa vituo vya redio vyote.

Inamilikiwa na Tanzania Broadcasring Corporation ambayo ni chombo cha umma cha utangazaji pekee Tanzania Bara. Ni shirika la umma lililoanzishwa mwaka 1992 kwa mujibu wa Sheria ya Mashirika ya Umma, kutoa huduma ya utangazaji ya umma kwa njia ya redio na televisheni. TBC inamilikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Tanzania, na kusimamiwa na Msajili wa Hazina, idara ndani ya Wizara ya Fedha, yenye 100% ya hisa. Lengo la Serikali ni kutumia TBC kuongeza nguvu juhudi za serikali katika kujenga Taifa. Hatimaye, serikali inaitegemea TBC kuwa msemaji wake kuliko kutangaza kwa uhuru wake bila ya upendeleo.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

umma

Maeneo yanayofikiwa

Taifa

Aina ya maudhui

Maudhui huru

Uwazi hafifu

Upatikanaji wa taarifa za wamiliki kutoka kwenye kampuni/chaneli

3 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

Tanzanian Broadcasting Corporation

Umiliki

Muundo wa umiliki

TBC Taifa inaendeshwa kinadharia na umma lakini kwa vitendo inaendeshwa na Tanzanian Broadcasing Corporation inayomilikiwa na serikali

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Mmiliki Binafsi

100%
Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

Started as„Sauti ya Dar es Salaam” (The Voice of Dar es Salaam): July 1st 1951.

Mwanzilishi

Serikali ya kikoloni ya Uingereza, iliweka chini ya Idara ya Maendeleo ya Jamii

Mtendaji Mkuu

Dr. Ayubu Rioba - ni Mkurugenzi Mkuu wa TBC. Aliteuliwa na Rais mwaka 2016. kabla ya kuteuliwa alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano na Umma (SJMC). Ni mwandishi wa habari mtaalamu (aliwahi pia kufan

Mhariri Mkuu

Dr. Ayubu Rioba -angalia hapo juu

Watu wengine muhimu

Rais - anateua afisa mtendaji mkuu/Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi

Mawasiliano

Tanzania Broadcasting Corporation

P.O. Box 9191, Dar-Es-Salaam

Tel.: +255222860760

Fax: +255 222865577

E-Mail: info@tbcorp.org

www.tbcorp.org

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa ya ziada

Kiwango cha hadhira kwa mujibu wa ripoti ya viwango vya GeoPoll ya Redio & TV (Aprili – Juni 2018).

Muhtasari wa vyombo vya habari

Director of Radio Services, TBC (September 2018). Media Owner Monitor Questionnaire TBC.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ