This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/03/29 at 02:52
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

Kiss FM

Kiss FM ni kituo cha utangazaji cha mikoa katika masafa ya FM na kilichoanzishwa mwaka 1998.

Ni miongoni mwa vituo 10 maarufu na hufikia hadhira kwa XX.XXX% kwa mujibu wa utafiti wa robo mwaka ya pili kuhusu hadhira ya vituo vya redio vinavyosikilizwa nchi nzima uliyofanywa na GeoPoll mwaka 2018.

Leseni ya Kiss FM ilisajiliwa kwa Sahara Media Group Limited (SMG) kwa 100% - kwa mujibu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) SMG, iliyokuwa ikiitwa Sahara Communication and Publishing Company Limited, ilianzishwa mwaka 1992. Inaendesha vyombo vitatu vya habari vya Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM.

Data za umiliki wa SMG hazikuweza kupatikana katika Wakala ya Usajili wa Biashara na Utoaji wa Leseni (BRELLA). Kwa mujibu wa wasifu ulivyounganishwa kwenye mtandao, Mwenyekiti na Mtendaji mkuu wa SMG, alikuwa Waziri katika nyadhifa mbalimbali. Kwa mujibu ya dodoso lililotayarishwa na R & D Manager wa SMG; hakuna utafiti uliyofanywa kutathmini mapato ya matangazo kwa kila kituo cha FTA. Serikali inaipa kampuni hiyo habari na taarifa, hata hivyo haisaidii sana katika matangazo ya taifa.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

binafsi

Maeneo yanayofikiwa

Mkoani (Dar Es Salaam, Mwanza, Morogoro, Mbeya, Tanga)

Aina ya maudhui

Maudhui huru

Taarifa zisizopatikana

Taarifa za wamiliki wa vyombo vya Habari ambazo hazikupatikana, kampuni zakataa kutoa maelezo au hazikujibu au hazina hifadhi ya kumbukumbu zake

1 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

Sahara Media Group Limited

Umiliki

Muundo wa umiliki

Kiss FM inamilikiwa na Sahara Media Group Limited, iliyoanzishwa na kumilikiwa na Dr. Anthony Diallo.

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

1998

Mwanzilishi

Dr. Anthony M. Diallo - ni mwanasiasa na mwenyekiti wa chama wa mkoa wa Mwanza wa chama tawala cha Chama cha Mapinduzi (CCM). Alikuwa mbunge (1995 - Okt 2010) na kupoteza ubunge kwa mgombea wa upinzani. Alikuwa na nyadhifa mbalimbali katika baraza la Mawa

Mtendaji Mkuu

Dr. Anthony Diallo - sangalia hapo juu

Mhariri Mkuu

Shalubano Abubakari - Meneja wa Vipindi

Mawasiliano

Kiss Fm

P. O. Box 1732, MWANZA

Tel: +255 282503262

E-mail: info@kissfmtz.com; info@saharamedia.co.tz

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa ya ziada

Kiwango cha hadhira kwa mujibu wa ripoti ya viwango vya GeoPoll ya Redio & TV (Aprili – Juni 2018).

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ