This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/20 at 09:26
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

Tanzania Daima

Tanzania Daima ni Gazeti la Kiswahili la Kila Siku linalochapishwa na Free Media Limited. Gazeti hili linaandika masuala ya kijamii, kiuchumi na kisiasa nchini Tanzania. Habari zake zinasemekana kukosoa chama tawala. Kwa mujibu wa utafiti wa GeoPoll kuhusu usomaji wa magazeti, uliyodhaminiwa na MCT (Aug/Sep 2018), Tanzania Daima ni miongoni mwa magazeti 10 ya juu lenye maudhui ya kijamii na kisiasa (XX.XXX% ya wasomaji).

Kwa maandishi, katika Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Dr. Lillian Mtei ametajwa kama mwasisi, mmiliki wa hisa nyingi (75%) na Mkurugenzi. Ameolewa na Freeman Mbowe ambaye ni mwanasiasa wa Tanzania na Mwenyekiti wa siasa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA –). Amechaguliwa kuendelea kuwa mbunge anayewakilisha Wilaya ya Hai katika Mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Hivi sasa anaendelea na siasa kwenye chama hicho hicho cha siasa.

Nafasi ya Mbowe bado haifahamiki kwa sababu wasifu wa Kampuni katika Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni haukuweza kupatikana na kampuni haikujibu mahojiano kwa njia ya madodoso.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

Binafsi

Maeneo yanayofikiwa

taifa bara)

Aina ya maudhui

maudhui yaliyolipiwa

Taarifa zinazopatikana kiurahisi

Upatikanaji wa taarifa za umiliki kutoka kwa vyanzo vingine, kwa mfano vile vinavyotambulikana kisheria

2 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

Free Media Limited

Umiliki

Muundo wa umiliki

Tanzania Daima inaendeshwa na Free Media Limited, inayohusishwa na kiongozi wa chama cha upinzani, Freeman Mbowe. Mke wake anamiliki hisa nyingi

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Kundi / Mmiliki Binafsi

Dr. Lilian Mtei

ni daktari wa tiba. Ni mke wa Freeman Mbowe, ambaye ni kiongozi mashuhuri wa chama cha siasa cha upinzani na Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anatoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)

75%
Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

registered at BRELA May 2004.

Mwanzilishi

Dr. Lilian Mtei - ni daktari wa tiba. Ni mke wa kiongozi maarufu wa upinzani Freeman Mbowe. Dudley Alphayo - ni anahisa chache na hasijulikani sana.

Mtendaji Mkuu

Taarifa zisizopatikana

Mhariri Mkuu

Martin Malera - Kaimu Mhariri Mtendaji. Tamali Vullu - Mhariri wa Habari.

Mawasiliano

Free Media

PO 15261, Dar es salaam.

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ