This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/03/29 at 09:27
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

TBC1

TBC 1 ni cheneli ya televisheni ya taifa. Ni televisheni mwenza ya TBC Taifa na imepewa mamlaka ya kutekeleza mamlaka halisi ya kutangazia umma. Kama ilivyo TBC Taifa, asilimia 75 ya vipindi vyake vinatakiwa viwe vya habari na elimu na asilimia 25 tu ndiyo viwe vya burudani. Kwa hiyo malengo makuu ya TBC1 ni kuelimisha na kupasha habari kuhusu masuala makuu ya taifa kama ilivyo katika TBC Taifa.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tanzania Media Measurement ya GeoPoll, kwa takwimu za hadhira za robo mwaka ya pili ya 2018, TBC One ina hadhira ya asilimia XX.XXX%  kwa hiyo ni ya tano miongoni mwa vituo vya TV.

Haikusajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Inamilikiwa na Tanzania Broadcasring Corporation ambayo ni chombo cha umma cha utangazaji pekee Tanzania bara. Ni shirika la umma lililoanzishwa mwaka 1992 kwa mujibu wa Sheria ya Mashirika ya Umma, kutoa huduma ya utangazaji ya umma kwa njia ya redio na televisheni. TBC inamilikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Tanzania, na kusimamiwa na Msajili wa Hazina, idara ndani ya Wizara ya Fedha, yenye 100% ya hisa. Lengo la Serikali ni kutumia TBC kuongeza nguvu juhudi za serikali katika kujenga Taifa. Hatimaye, serikali inaitegemea TBC kuwa msemaji wake kuliko kutangaza kwa uhuru wake bila ya upendeleo.

Miongoni mwa matokeo itakuwa ushughulikiaji wa vyanzo vya habari. TBC1 inatumia 57% ya hoja za viongozi/mamlaka kama vyanzo vya habari. Hali hii ilibainishwa na utafiti wa ubora wa vyombo vya habari uliyogharimiwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Imedai kwamba nusu ya habari zake zina muundo bora – hali ambayo ni zaidi ya wastani katika TV Segment. TBCI pia inatumia mtangazaji wa kike katika kila habari ya pili.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

Umma

Maeneo yanayofikiwa

Taifa

Aina ya maudhui

Free to Air

Uwazi hafifu

Upatikanaji wa taarifa za wamiliki kutoka kwenye kampuni/chaneli

3 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

Tanzanian Broadcasting Corporation

Umiliki

Muundo wa umiliki

TBC1 inaendeshwa na Tanzanian Broadcasting Corporation inayomilikiwa na Taifa

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Mmiliki Binafsi

100%
Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

Start: October 1999 on trial; official start March 2000 full-time

Mwanzilishi

Serikali. TBC1 ilianzishwa chini ya sheria ya shirika la umma ya mwaka 1992 .

Mtendaji Mkuu

Dr. Ayubu Rioba - ni Mkurugenzi Mkuu wa TBC. Aliteuliwa na Rais mwaka 2016. kabla ya kuteuliwa alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano na Umma (SJMC). Ni mwandishi wa habari mtaalamu (aliwahi pia kufan

Mhariri Mkuu

Dr. Ayubu Rioba - angalia hapo juu

Watu wengine muhimu

Rais - anateua afisa mtendaji mkuu/Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi

Mawasiliano

Tanzania Broadcasting Corporation

P.O. Box 9191, Dar-Es-Salaam

Tel.: +255222860760

Fax: +255 222865577

E-Mail: info@tbcorp.org

www.tbcorp.org

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa ya ziada

Kiwango cha hadhira kwa mujibu wa ripoti ya viwango vya GeoPoll ya Redio & TV (Aprili – Juni 2018).

Muhtasari wa vyombo vya habari

Director General, TBC (October 2018). Media Ownership Monitor Questionnaire TBC.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ