This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/24 at 01:42
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

TBC2

TBC2 ni idhaa ya televisheni ya kibiashara ya Tanzanian Broadcasting Corporation (TBC).

Kwa mujibu wa ripoti ya Tanzania Media Measurement ya GeoPoll, kwa takwimu za hadhira za robo mwaka ya pili ya 2018, TBC2 ina hadhira ya XX.XXX%. hii ina maana kuwa ya 10 miongoni mwa vituo vya TV vya habari.

Kutokana na amri ya kuanzishwa kwa Tanzania Broadcasting Corporation ya 2007, TBC imepewa mamlaka ya kuwa na aina nne ya vyombo vya habari hasa utangazaji kwa umma, huduma za utangazaji wa kibiashara, huduma ya utangazaji kwa jamii na aina nyingine za shughuli za utangazaji kadri Waziri mwenye dhamana ya Utangazaji atakavyoona.

Katika mahojiano ya ana kwa ana (13/09/2018), Director of Radio Services amesema kuwa hivi karibuni TBC itaanza kuondoa vipindi vya biashara katika TBC Taifa na TBC1 ili ziweze kumakinikia zaidi vipindi vya masuala ya maendeleo ya taifa na matukio katika kuimarisha juhudi za serikali za ujenzi wa taifa. Director of Radio Services amesema vipindi vya biashara hivi sasa katika vituo viwili hivyo ama vinafutwa au kurekebishwa, kuvunja mikakati ya muda wa matangazo na kuondoa matangazo kwenye idhaa hizo. Hata hivyo maudhui ya TBC2 ni ya kuburudisha zaidi kuliko kuwa ya bishara.

TBC2 inamilikiwa na Tanzania Broadcasting Corporation, idhaa pekee ya utangazaji wa umma, katika Tanzania bara. Pia ni shirika la umma lililoanzishwa kwa mujibu wa Kifungu cha 4 cha Sheria ya Mashirika ya Umma ya mwaka 1992, kutoa huduma ya utangazaji ya umma kwa njia ya redio na televisheni. Ni chombo cha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kusimamiwa na Msajili wa Hazina, idara ndani ya Wizara ya Fedha na Mipango, yenye 100% ya hisa. Hatimaye, Serikali inatarajia kuwa msemaji wake kuliko kutangaza kwa uhuru wake bila ya upendeleo.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

Umma

Maeneo yanayofikiwa

Taifa

Aina ya maudhui

Free to Air

Uwazi hafifu

Upatikanaji wa taarifa za wamiliki kutoka kwenye kampuni/chaneli

3 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

Tanzanian Broadcasting Corporation

Umiliki

Muundo wa umiliki

TBC2 inaendeshwa na Tanzanian Broadcasting Corporation inayomilikiwa na Taifa.

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Mmiliki Binafsi

100%
Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

Missing Data

Mwanzilishi

Serikali

Mtendaji Mkuu

Dr. Ayubu Rioba - ni Mkurugenzi Mkuu wa TBC. Aliteuliwa na Rais mwaka 2016. kabla ya kuteuliwa alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano na Umma (SJMC). Ni mwandishi wa habari mtaalamu (aliwahi pia kufan

Mhariri Mkuu

Dr. Ayubu Rioba - angalia hapo juu.

Watu wengine muhimu

Rais - anateua afisa mtendaji mkuu/Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi

Mawasiliano

Tanzania Broadcasting Corporation

P.O. Box 9191, Dar-Es-Salaam

Tel.: +255222860760

Fax: +255 222865577

E-Mail: info@tbcorp.org

www.tbcorp.org

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa ya ziada

Kiwango cha hadhira kwa mujibu wa ripoti ya viwango vya GeoPoll ya Redio & TV (Aprili – Juni 2018).

Muhtasari wa vyombo vya habari

Director General, TBC (October 2018). Media Ownership Monitor Questionnaire TBC.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ