This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/19 at 13:45
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

TV1

TV1 Tanzania ni televisheni ya “free-to-air” inayotoa habari za michezo na vipindi vingine vya burudani vinavyohusiana na vinavyopendwa sana na vijana. Lengo lake ni kuwa idhaa ya michezo nchini Tanzania na inakusudia kufikia lengo hili kwa kuchanganya maudhui ya ndani na ya kimataifa.

Maeneo ya kijiografia inakofika ni mikoa 10 ya ndani ya Tanzania na kwa mujibu wa utafiti wa GeoPoll wa robo mwaka ya pili ya 2018, hadhira yake ni XX.XXX%.

Meneja Mkuu ndiye Mtendaji Mkuu na kwa sasa ni Bwana Joseph Sayi aliyechangia utafiti na kutoa taarifa.

Mhariri Mkuu ni Bwana MrMukhsin Mambo.

Hivi sasa, Econet Media Ltd ina 49% ya hisa za TV1. Raia wa Zimbabwe, Strive Masiyiwa ndiye mwasisi na Mwenyekiti Mtendaji wa Econet. Maeneo yake ya biashara pia yanajumuisha pia nishati jadidifu, huduma za fedha, vyombo vya habari na ukarimu.

Hisa zilizobaki ni za raia wa Tanzania: Wilbert Kapinga (41% ya hisa) na Dkt. Gideon Kaunda (10% ya hisa)

Namba ya utambulisho wa Mlipakodi ya kampuni ni 110-803-982 na mtu wa kuwasiliana ni Kaimu Meneja Mkuu. Kampuni hii ina watumishi 70. Kampuni tanzu ya TV1 ni KWESE TV.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

Binafsi

Maeneo yanayofikiwa

mikoa 10 nchiniTanzania

Aina ya maudhui

Free to Air

Taarifa zinazopatikana kiurahisi

Upatikanaji wa taarifa za umiliki kutoka kwa vyanzo vingine, kwa mfano vile vinavyotambulikana kisheria

2 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

Econet Media Tanzania Limited

Umiliki

Muundo wa umiliki

TV1 iinaendeshwa na Econet Media Limited inayomilikiwa na Econet Vision Limited.

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Mmiliki Binafsi

Kundi / Mmiliki Binafsi

Dr. Gideon Kaunda

Dr Kaunda alikuwa ni Mwanasheria wa Kampuni, na Bingwa wa Mawasiliano na Uchukuzi mwenye uzoefu mkubwa katika huduma za utayarishaji miradi na ushauri wa sheria. Zamani alifanyakazi kama Principal Assistant Counsel and Legal Advisor katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa miaka minane (1969-1977), baada ya hapo aliteuliwa kuwa Mwakilishi wa Serikali ya Tanzania kwenye Council of the Internation Civil Aviation Organisation (ICAO) kwa kipindi cha miaka sita.
Dr Kaunda alijiunga tena na serikali mwaka 1984 na kufanya kazi mbalimbali za ushauri elekezi katika PTA (COMESA), Benki ya Dunia, Umoja wa Ulaya, kabla ya kuazimwa kwenda kufanya kazi kama Special Assistance to the Chief Executive Officer of Alliance Air

10%
Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

Missing Data

Mwanzilishi

Taarifa zisizopatikana

Mtendaji Mkuu

Mr. Joseph Sayi -ameshiriki kwenye utafiti na kutoa taarifa

Mhariri Mkuu

Mukhsin Mambo - aliwahi kufanyakazi Star TV.

Mawasiliano

No Tanzanian address available.

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa ya ziada

Kiwango cha hadhira kwa mujibu wa ripoti ya viwango vya GeoPoll ya Redio & TV (Aprili – Juni 2018).

Muhtasari wa vyombo vya habari

General Manager, Econet Media Limited (October2018). Media Ownership Monitor Questionnaire Econet Media Limited.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ